Saturday, February 22, 2014

KWA NINI WATU WANAWAKATISHA TAMAA WENGINE?

FRANK John anasema, amekuwa akipata ujumbe mbalimbali kupitia simu ama barua pepe yake zikieleza kuwa kuna baadhi ya watu wamekuwa wakiwakatisha tamaa wengine wasifikie malengo ama mafanikio waliojiwekea.   Anasema sababu aliyoipata wakati anasoma ujumbe hizo ni kwamba baadhi ya wale wanaokatishwa tamaa wanawaamini hao wanaowakatisha tamaa.   Si vibaya kuwazungumzia hao wanaokukatisha tamaa, lakini pale unapoanza kujiuliza maswali baada ya kuzungumza nao jua kwamba uko kwenye hatari kubwa.   Njia inayoweza kukusaidia ambayo haitakudhuru kutokana na watu wa aina hiyo ni kutaka ujue kwa nini watu wanawavunja moyo ama kuwakatisha tamaa wengine.   Zipo sababu zinazowafanya baadhi ya watu kuwakatisha tamaa wengine.   Kwanza watu hao hawawezi kufanya mambo unayotaka...

JINSI GANI YA KUFANYA KAZI NA ANAYEKUCHUKIA

JE unawezaje kushughulika na mtu anayekuchukia kazini? Hilo ndilo swali la msingi la kujiuliza. Na jinsi gani unaweza kuzuia usichukiwe na wafanyakazi wengine.   Kila mmoja ana hisia ambazo zinaweza kumwongoza afanye jambo Fulani ama asilifanye, kwa ajili ya kuzuia ghadhabu au kutokuelewana kusitokee.   Sasa ni kwa jinsi gani unaweza kushughulika na mtu anayekuchukia katika eneo la kazi.   Kuchukiwa ni hisia iliyopo kwa mtu ambayo mtu huyo anayemchukia mwingine badala ya kumpiga anamalizia hisia hizo kwa kumchukia.   Hii inamaanisha kuwa, kama kuna mtu anakuchukia kazini inaonyesha kuwa,  wewe ni mtu wa muhimu hivyo anatumia mbinu hiyo kukudhoofisha kisaikolojia.   Inakuaje akili ya huyo anayekuchukia inajiridhisha kuwa wewe ni adui wake wa kwanza?...

Pages 321234 »
Twitter Facebook